22/06/2013

NAWASHUKURU WOTE KWA MALEZI BORA MNAYONIPA KILA SIKU

Unknown     Saturday, June 22, 2013    

Hapa nimebebwa na mama yangu kipenzi cha moyo wangu....ila nataka kunyonya kidogo jamani ...msiniangalie
Huyu ni dada Rachel ,huwa nashinda nae nyumbani wakati wa mchana wakati wazazi wangu wakiwa kazini...ananilea vizuri sana na ninampenda sana...!!!
Mama yake na mimi huyu,anaelekea kaziniii.....nakupenda sana mama yangu...!!!

0 comments :

About us

Common

FAQ's

FAQ's

© 2006-2014 GLORY GADIEL BLOG. Published By Gadiola Emanuel | Designed by Bloggertheme9. Powered By Blogger.